iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Rais Barham Salih wa Iraq amelaani jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mustafa al-Kadhimi.
Habari ID: 3474526    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/07

TEHRAN (IQNA)- Rais Kais Saied wa Tunisia amemetua Najla Bouden Romdhane, kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke katika historia ya nchi hiyo, baada ya kupita takribani miezi miwili tangu alipohodhi madaraka yote ya nchi, hatua iliyoelezwa na wapinzani wake kama mapinduzi ya kijeshi.
Habari ID: 3474359    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/29

TEHRAN (IQNA) – Klipu ya Waziri Mkuu wa Malaysia Muhyiddin Yassin akisoma Qur’ani Tukufu imeenea katika mitandao ya kijamii hivi karibuni
Habari ID: 3473242    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/10/08

TEHRAN (IQNA) - Waziri Mkuu wa Morocco Saad Eddine El Othman amesema nchi yake inapinga kuanzisha uhusiano wowote na utawala wa Kizayuni wa Israel.
Habari ID: 3473098    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/24

TEHRAN (IQNA) Bunge la Iraq lililokutana kwa kikao cha dharura kilichofanyika Jumapili limeukubali uamuzi uliochukuliwa na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Adil Abdul-Mahdi wa kujiuzulu wadhifa wake huo.
Habari ID: 3472250    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/02